1

DoGO RaMA King Burudoza La Jiji ,Powerfull,Mapafu Ya Farasi, Hakuna Kesho Vuallaaa!!

Friday, June 27, 2014

On My Tour 2014

 Nikiwa Kwa Interview Mahali
 Ndo Nimefika Hapa Aisee
 Ndo Hivyoo Yaaani Maji Muhimu
Dogo Rama Vuallaaaaaaa

Dogo Rama Akiwa Tour Geita!!

Niko na jamaa wa karibu hapo
Ndo kama nilivyowaambia kuhusu jamaa mkarimu
Simba Mkali Sijui Anang'ata Lakini Mimi Nimekaa Naye Hapo Kama Unavyoona
On My Deep Feeling Nikidiscuss Cha Kuwapa Mashabiki Wangu Ili Wafurahi Kama Mimi Maana Bila Wao Hakuna Dogo Rama Vuallaa..
Last And But Not On List Kila Siku Nakumbusha Upendo "nawapenda wote marafiki zangu wote vuallaa"

Sunday, June 15, 2014

King Burudoza Ndani Ya Mbeya Akifanya Yake Vuallaa

 Akiwa KWa Stage Anafanya Makamuzi Ya Hatari
 Ngoma Ya Kwanza  Ilianza Vizuri Kama Hivi
 Mzuka Ndo Umepanda Ile Mbaya


 Show Ilikuwa Pouwa Kama Hivi
 Naangalia Mashabiki Zangu Hapo
Namalizia Nyimbo Ya Mwisho

Sunday, June 8, 2014

My private Car !

Kwa safari za hapa na pale Job To Nyumbani mpk sehemu fulani hivi mitaan kwa mafans wangu !!

Saturday, June 7, 2014

TAZAMA HAPA TWANGA PEPETA WAKIFANYA VITU VYAO KWENYE FAINALI ZA MISS TABATA 2014 USIKU HUU








Madansa wa Twanga wakionyesha umahiri wao stejini.





Wananchi wakifuatilia burudani zinazoendelea kutolewa na Twanga Pepeta.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...